BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA YA USIMAMIZI WA MAAFA

Ña Barnabas Kisengi Dodoma Muswada wa sheria ya Usimamizi wa maafa Imepitishwa bungeni leo jijini Dodoma baada ya kuwasilisha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene  alisema  kupitishwa kwa muswada huo  kutawezeshwa kutungwa . Waziri Simbachawene  amesema katika kipindi cha miaka saba ya utekelezaji wa sheria ya maafa